Recent Posts

KWA MATANGAZO WASILANA NA UONGOZI WA Deopa TV NO:0765-743393 AU 0658508231, EMAIL:deostivu123@gmail.

Cardi B ameweka wazi siku rasmi ya kuachia albamu yake ya kwanza ambayo ameipa jina la ‘Invasion of Privacy’.




Mrembo huyo ambaye kwa sasa anaonekana kukikaribia kiti cha umalkia wa muziki wa Hip Hop, amethibitisha kupitia mtandao wa Twitter kuwa albamu hiyo itatoka April 6 ya mwaka huu.

“My album “INVASION OF PRIVACY” will be out APRIL 6!Thanks for the love,” ameandika.
Miongoni mwa ngoma ambazo zinatarajiwa kusikika katika albamu yake hiyo ya kwanza ni pamoja na Bodak Yellow (Money Moves) na ‘Bartier Cardi’.

No comments:

Post a Comment