
Luiz Inacio Lula da Silva
Kesi hiyo iliyochukua muda mrefu wa uchunguzi baada ya sakata la rushwa lililojulikana kama ‘Operation Car Wash’, hukumu yake imezua hali ya wasi wasi wa kisiasa nchini humo.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, Kwenye hukumu hiyo, mahakama imebaini kuwa Lula alichukua rushwa yenye thamani Euro 790,000 sawa na bilioni 2.1 .
Lula da silva ni moja ya marais wastaafu waliyoiongoza Brazil ambao bado wanaushawishi mkubwa kwenye siasa za Brazil na amekuwa akitarajiwa kusimama tena kugombea urais wa nchi hiyo kama mgombea huru kwenye uchaguzi mkuu ujao mwezi Oktoba mwaka huu.
No comments:
Post a Comment