Argentina yachapwa 3-0, mashabiki wa Lionel Messi wakosa amani!
Kipigo cha Argentina cha goli 3-0 dhidi ya Croatia kimewachanganya kabisa mashabiki wa mshambuliaji wa timu hiyo na klabu ya Barcelona, Lionel Messi huku mmoja kati ya mashabiki hao wakimshauri mchezaji huo kubadili uraia.
No comments:
Post a Comment