Recent Posts

KWA MATANGAZO WASILANA NA UONGOZI WA Deopa TV NO:0765-743393 AU 0658508231, EMAIL:deostivu123@gmail.

Paul Okoye afunguka maisha mapya bila Pacha wake


Superstar Paul Okoye maarufu kama Mr. P kutokea Nigeria amefunguka kupitia mahojiano aliyofanya na The Koffee Gang show kwenye Hot 93.3 FM nchini humo na kuzungumzia kuhusu maisha yake mapya kama solo artist baada ya kuachana na kundi la Psquare.

Paul Okoye amekielezea chombo hicho kuwa hakuogopa kuanza upya kwenye maisha ya muziki alijua kuwa kuna maisha mapya mbeleni pia alisema kuwa hapendi kujisifia kuhusiana na muziki anaoufanya kwa sababu ana vipaji vingi ikiwa ana uwezo wa kuproduce muziki mwenyewe.

“Niliacha kundi la Psquare likiwa na wafuasi karibia milioni moja kwenye mtandao wa youtube na sikuogopa kuanza upya nilijua kuna kitu kizuri mbeleni , lakini nimesonga mbele na nimependa,  pia napenda nguvu niliyoiweka” 

No comments:

Post a Comment