Mchezaji bora wa VPL 2018, John Bocco atangaza vita msimu ujao
Mchezaji bora wa ligi kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2017/18, John Bocco amewashukuru wachezaji wenzake kwa mchango wao katika kumuwezesha kutwaa tuzo hiyo na kuahidi kufanya vema zaidi msimu ujao
No comments:
Post a Comment