Recent Posts

KWA MATANGAZO WASILANA NA UONGOZI WA Deopa TV NO:0765-743393 AU 0658508231, EMAIL:deostivu123@gmail.

Mchezaji bora wa VPL 2018, John Bocco atangaza vita msimu ujao

Mchezaji bora wa ligi kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2017/18, John Bocco amewashukuru wachezaji wenzake kwa mchango wao katika kumuwezesha kutwaa tuzo hiyo na kuahidi kufanya vema zaidi msimu ujao

No comments:

Post a Comment