Recent Posts

KWA MATANGAZO WASILANA NA UONGOZI WA Deopa TV NO:0765-743393 AU 0658508231, EMAIL:deostivu123@gmail.

NIGERIA 2-0 Iceland



    Timu  ya Taifa ya Nigeria imeibuka na ushindi wa magoli mawili dhidi ya Iceland.
    Magoli yote yamefungwa na Ahmed Musa katika kipindi cha pili na kuifanya nigeria kusonga mbele katika michuano ya kombe la dunia inayo endelea nchini Russia.

    No comments:

    Post a Comment