Recent Posts

KWA MATANGAZO WASILANA NA UONGOZI WA Deopa TV NO:0765-743393 AU 0658508231, EMAIL:deostivu123@gmail.

Rapper Jimmy Wopo afariki kwa kupigwa risasi


Baada ya taarifa za Rapper chipukizi Xxxtentacion kufariki dunia kwa kupigwa risasiJune 18,2018 hii ni taarifa nyingine ya msiba kutoka kwa Rapper Jimmy Wopo ambaye amefariki muda mchache baada ya kupigwa risasi June 18,2018.
Jimmy Wopo amepigwa risasi na kufariki na watu wasiojulikana akiwa kwenye mji wa Piitsburgh na imeripotiwa  kuwa katika tukio hilo kuna baadhi ya watu wamejeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitali na hali zao kwa sasa zinaendelea vizuri.
Rapper huyo enzi za uhai wake ametambulika na ngoma zake kibao zikiwemo Elm Street, Prime Time, Lost, Ayo na nyingine nyingi na amefariki akiwa na umri wa miaka 21.

No comments:

Post a Comment